Kuelekea mchezo wa Tanzania Prisons ugenini dhidi ya Simba SC, uongozi wa klabu hiyo umeweka kitita cha Tsh milioni 30 endapo Wajelajela hao wataifunga Simba SC.
Simba SC itachuana na Tanzania Prisons katika dimba la Benjamin Mkapa siku ya Ijumaa Desemba 30, 2022.