Kocha wa mororoco Walid Regragui ameandika Historia ya kuifikisha timu hiyo ya Taifa kama kocha mzawa hatua ya Robo fainali na Sasa anaenda kuandika historia nyingine kama atafanikiwa kuingia nusu fainali kwani Taifa hilo litakuwa la kwanza barani Afrika kuingia katika hatua hiyo.
Mataifa yaliyo wahi kufika robo fainali kutoka Afrika ni pamooja na
1990 - 🇨🇲 Cameroon
2002 - 🇸🇳 Senegal
2010 - 🇬🇠Ghana
2022 - 🇲🇦 Morocco
Hivyo mchezo wa kesho ni Muhimu kwa waafrika na Taifa Hilo kwa ujumla Kila Lakheri Simba wa mlima wa Atlasi.