Kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii nyota huyo ameandika Maneno haya hapo chini.
“Alhamdulillah nimefika salama tayari kwa kuanza majukumu yangu mapya” ——— kaandika Feisal na kuweka nukuu hii ——— > “na walipo kupangia mpango walio kufuru wakufunge, au wakuuwe, au wakutoe. Wakapanga mipango yao, na Mwenyezi Mungu akapanga yake. Na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa mipango” Surah Al Anfal aya 30”