Mapema Wiki hii Papa Francis alisema Mtangulizi wake Papa Benedict XVI mwenye umri wa miaka 95 ni mgonjwa sana na akawataka Mahujaji wa Vatican wamuombee.
Papa Benedict wa XVI ndiye alikuwa Kiongozi wa kwanza wa kanisa katoliki kujiuzulu mwaka 2013 na kuushangaza Ulimwengu kwakuwa jambo hilo lilikuwa halijawahi kutokea katika kipindi cha miaka 600 iliyopita.